Makabidhiano ya Tuzo ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ushindi wa pili kwa kufanya vizuri katika usimamizi wa Utawala na Raslimali Watu kama Taasisi inayojitegemea
Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Balozi Kennedy Gaston akiwa na Mawakili wa Serikali Waandamizi Bw. Hassan Nkya na Felista Lelo kwenye mkutano wa 61 wa Taasisi ya Mashauriano ya Sheria ya Nchi za Asia na Afrika ( AALCO)Mjini Bali Indonesia
Ujumbe wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika Mkutano wa 61 wa Taasisi ya Mashauriano ya Sheria ya Nchi za Asia na Afrika ( AALCO) unaofanyia Bali Nchini Indonesia
Kutoa huduma za kisheria zenye ubora kwa njia ya kuandaa Sheria, Upekuzi na Majadiliano ya Mikataba pamoja na Ushauri wa Kisheria kwa Maendeleo ya Kijamii, Kiuchumi na Kisiasa
Dira
Kuwa Taasisi yenye ufanisi, kitaaluma na kuaminika katika kutoa huduma bora zakisheria kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania