![First slide [800x350]](https://www.agctz.go.tz/uploads/gallery/dc03bf6023da59eac9f24ff881fe8b59.jpeg)
![First slide [800x350]](https://www.agctz.go.tz/uploads/gallery/4c6d7e656a0a5754c65d44242e0227df.jpeg)
![First slide [800x350]](https://www.agctz.go.tz/uploads/gallery/83e620fa9eb7274e7c4ea33206cb5b16.jpeg)
vikundi vya burudani vilikuwapo kutumbuia wiki ya utoaji elimu kuhusu sheria
mmoja ya wananchi aliyetembelea Banda la Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupata ushauri wa kisheria
Wiki ya Utoaji wa Elimu kwa Wananchi Viwanja vya Nyerere Sq katika picha
![First slide [800x350]](https://www.agctz.go.tz/uploads/gallery/1580556100-IMG_0447-8.jpg)
Mawakili wa Serikali Anna Mkongwa na Tunu Temu wakiwa tayato kutoa elimu ya sheria
![First slide [800x350]](https://www.agctz.go.tz/uploads/gallery/1580555875-IMG_0487-5.jpg)
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akipata maelezo kutoka kwa Kaimu DAG kuhusu Majukumu ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali
![First slide [800x350]](https://www.agctz.go.tz/uploads/gallery/1580555639-IMG_0413-1.jpg)
Kaimu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dkt. Gift Kweka aliwaongoza watumishi
![First slide [800x350]](https://www.agctz.go.tz/uploads/gallery/1580555519-IMG_0417-4.jpg)
Watumishi walivyohamasika kwa zoezi la kutembea umbali wa kilomita 4.5 jijini Dodoma
![First slide [800x350]](https://www.agctz.go.tz/uploads/gallery/1580555334-IMG_0402-2.jpg)
Watumishi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu walivyoshiriki maandamano ya Wiki ya Sheria
![First slide [800x350]](https://www.agctz.go.tz/uploads/gallery/1578656426-IMG_0285-1.jpg)
Wajumbe wa Kamati ya Ukaguzi ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali wajengewa uwezo
![First slide [800x350]](https://www.agctz.go.tz/uploads/gallery/1578314412-IMG_0257-dk7.jpg)
Familia zichukue tahadhari kuwalinda watoto wao dhidi ya majanga mbalimbali
![First slide [800x350]](https://www.agctz.go.tz/uploads/gallery/1578314309-IMG_0263-dk6.jpg)
Kupima homa ya Ini pamoja na kupata chanjo pia imesisitizwa sana wakati wa mafunzo haya
![First slide [800x350]](https://www.agctz.go.tz/uploads/gallery/1578314228-IMG_0255-dk.jpg)
linapokuja suala la ukimwi na magonjwa mengine hatarishi hakuna kuaminiana kila mtu achukue tahadhari
![First slide [800x350]](https://www.agctz.go.tz/uploads/gallery/1578314112-IMG_0253-dk3.jpg)
moja ya masuala yaliyosisitizwa wakati wa mafunzo hayo ni kuchukua tahadhari na kujiepusha na ngono zembe
![First slide [800x350]](https://www.agctz.go.tz/uploads/gallery/1578314004-IMG_0239-4.jpg)
Mafunzo kuhusu maambukizo ya virusi vya ukimwi na upimaji wa afya kwa watumishi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali
kila mshiriki hakutaka kukosa picha ya pamoja kama kumbukumbu
Washiriki wa Kikao kazi wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kikao kufunguliwa
Washiriki wa Kikao kazi wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kikao kufunguliwa
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Prof. Adelardus Kilangi katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Kikao kazi
![First slide [800x350]](https://www.agctz.go.tz/uploads/gallery/1571305431-IMG_8775-Y.jpg)
Mafunzo haya Maalum yamelenga katika kuwajengea uelewa na ufahamu watumishi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali namna bora na salama ya kutekeleza majukumu yao
![First slide [800x350]](https://www.agctz.go.tz/uploads/gallery/1571305216-IMG_8787-XY.jpg)
Wakurugenzi, Wakurugenzi Wasaidizi na Wakuu wa Vitengo wakimsiliza Naibu Mkurugenzi Ofisi ya Usalama wa Serikali Bi. Riziki Mtimbo
![First slide [800x350]](https://www.agctz.go.tz/uploads/gallery/1571304985-IMG_8810-Q.jpg)
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Profesa Adelardus Kilangi alipozungumza na Wakurugenzi , Wakurugenzi Wasaidizi na Wakuu wa Vitengo wakati wa mafunzo maalum
Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dkt. Evaristo Longopa amewataka Wakuu wa Idara na Vitengo kutekeleza majukumu yao ipasavyo