TEHAMA

Majukumu ya  Kitengo

Kitengo kinahusika na  uendelezaji na uratibu wa Menejiment ya Mifumo ya Komputa   pamoja na  mifumo mengine ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali  

pamoja na kushughulikia masuala yote yanayohusiana na  Teknolojia ya Habari na Mawasiliano