Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani

Kitengo kinahusika na Udhibiti wa Matumizi ya Fedha na Raslimali za Serikali katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kulingana na taratibu, kanuni na miongozo mbalimbali ya Serikali

Kitengo kinaongozwa na Mkaguzi Mkuu wa Ndani